Wednesday 24 June 2015

Breaking news:MBUNGE WA GEITA MH.DONALD MAX AFARIKI DUNIA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge wa jimbo la Geita Donald Max amefariki dunia leo jioni ya Juni 23, 2015 katika hospitali ya Taifa Muhimbili. 

Katibu wa bunge Dr Thomas Kashilila amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kwamba taarifa zaidi zitatolewa kesho Juni 24, 2015.

Msiba huu unatokea ikiwa ni wiki tatu tangu kufariki kwa mbunge wa jimbo la Ukoga Eugen Mwaiposa aliyefariki Juni 2 mwaka huu na takriban miezi mitatu tangu kufariki kwa mbunge wa Mbinga Magharib Kapten John Komba.
Chanzo-EATV
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger