INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAFADHALI FANYA YAFUATAYO KUANGALIZIWA JINA LAKO;
Endapo utahitaji kuangaliziwa jina lako Fanya yafuatayo;
1.tafadhali tuma Kituo/Shule Uliyofanyia Mtihani kwenda namba 0768260834 mfano BINZA SECONDARY SCHOOL-S0710,pia tuma jina lako
2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.1000 TUA AMBAYO UTAITUMA KWA MPESA KWENDA NAMBA...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
mwanaye, baba…
Na Kulwa Mwaibale MSIBA!
Mohamed Juma (14) ambaye alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Shule
ya Sekondari ya Toangoma wilayani Temeke, Dar amefia bwawani wakati
akiogele...
SOMA ZAIDI>>>>DENTI KIDATO...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Funguka!
Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva,
Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya
bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya
‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais
Dk. Jakaya Kikwete akipokea heshima ya Wimbo wa Taifa mara baada ya
kuwasili katika Viwanja vya Chuo cha Maofisa Magereza kilichopo Ukonga
jijini Da...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Takribani watu 11 wameuawa Magharibi mwa Mali wakati wa mapigano kati ya wapiganaji wa Kiislamu na Jeshi.
Mkazi mmoja kwenye Mji wa Nara, ameeleza kuwa watu hao waliwasili kwa
magari na pikipiki...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Bw. Wiseman Mwakyusa
Luvanda(2) mmoja wa Wapanda baiskeli wawili kati ya wanne waliofunga
safari kwa baiskeli kwa kilomita 830 kutoka...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Sixty
per cent of children aged one to five years in Lindi Region suffer
acute malnutrition, stunting them in height and adversely affecting
their bodies’ internal organs.
The Project Manager of the Partnership for Nutrition in Tanzania
(PANITA) Joseph Mugyabuso said the region’s children suffer various
diseases because they lack immunity, which is due to malnutrition.
He...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The
public has been advised to regularly check their health status for
early diagnosis of non communicable disease like cancer, heart and
diabetes disease in order to help save lives of the majority patients.
The Acting Deputy Director of Mental Health and Substance Abuse and Non
Communicable Diseases Dr Auson Rwehumbiza told the presses yesterday in
Dar...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Government
yesterday refuted claims that 22 deaths that occurred in January 2014
and April 2015 at North Mara mine were caused by soldiers guarding the
mine.
The deaths were caused by a fight among illegal miners, Deputy Minister
for Energy and Minerals Charles Mwijage said in response to a
supplementary question by Tarime MP Nyambari Nyangwine (CCM).
Nyangwine...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Women,
youth and other groups have been urged to explore and venture into
investment opportunities available in local administrative areas as a
rapid measure for their personal development and contribution to efforts
geared towards poverty eradication.
George Mtambalike, the local government chairman for Mogo area in Ukonga
Constituency of Ilala Municipality...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The
government has defended foreign employees at the Presidential Delivery
Bureau who also work for Big Results Now (BRN) initiative, saying their
skills were of an utmost value.
Deputy Minister of Industry, Trade and Marketing Janet Mbene told the
National Assembly in Dodoma yesterday that the two citizens of Ethiopia
and two from the neighbouring Kenya were...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Mh. William Vangimembe Lukuvi akiwasili kwenye
ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kupokelewa na Katibu Tawala wa Mkoa
wa Iringa, Wamoja Ayoub huku Meya wa Manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi
akishuhudia...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref. Na EA.7/96/01/G/2302ndJune, 2014VACANCIES ANNOUNCEMENTOn behalf of Tanzania Food and Nutrition Centre (TFNC) and Ministry of Land...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The Welsh forward has been criticised by fans and media after an underwhelming season but his compatriot believes that he will stay at the Santiago Bernabeu for a long time
Cristiano Ronaldo will leave Real Madrid before Gareth Bale does, according to former coach John...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kampala International University (KIU)
Kampala International University (KIU) has admitted
it has no hospital for medical students’ clinical rotation at its Dar es
Salaam campus, a necessary requisite short of which may lead to closure
of the academic...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kigoma South MP David Kafulila.
Kigoma South MP David Kafulila yesterday wrote a
letter to National Assembly Speaker Anne Makinda seeking that she orders
the government to submit an investigative report on the scandal over
the controversial purchasing...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The Dar es Salaam Water and Sewerage Authority (DAWASA)
The Dar es Salaam Water and Sewerage Authority
(DAWASA) has declared that among the most notorious companies associated
with illegal water connection are owners of the brick factories
operating...
INNOCENT-THE BLOGGER BOY
Minister Lazaro Nyalandu.
As elephants get depleted at a fast speed in various
national parks and game reserves in the country the government will
again carry-out validation exercise on the exact number of jumbos in
Ruaha-Rungwa ecosystem in the southern...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The Minister of State in the President's Office (Special Duties), Prof. Mark Mwandosya.
The government has officially confirmed withdrawal
of Access to Information Bill, 2015 which was scheduled to be tabled in
the House today, saying that the bill...
INNOCENT-THE BLOGGER BOY
Finance Deputy Minister, Adam Malima.
Government has endorsed the One Stop Border Posts
Act, 2015 to facilitate smooth movement of people and goods within the
East African Community (EAC)region.
&nbs...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KONDAKTA mmoja wa daladala ambaye jina lake halikuweza
kupatikana mara moja, juzikati alinaswa mchana akipiga pombe aina ya
kiroba kisha kuzidiwa na ulevi hadi kufikia hatua ya kutojitambua.
Konda huyo alinaswa majira ya saa 9 alasiri maeneo ya Stendi ya Buhongwa, wilayani Nyamagana, mkoani Mwanza.
Kwa mujibu wa mmoja wa mashuhuda waliokuwepo eneo hil...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu 2015 utakaofanyika Oktoba 25, mwaka
huu, msanii ambaye ni kiongozi wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre
linalorusha mchezo wake kupitia Televisheni ya ITV, Daudi Mponji a.k.a
Lazi amerithi mikoba ya aliyekuwa mtunzi wa nyimbo za kuhamasisha za
Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia
Februari 28, mwaka huu.
Akizungumza...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ABIKANILE
anazidi kuandamwa na misukosuko ya kutisha. Alinusurika kifo siku
waliyouawa wazazi wake na siku aliyouawa mpenzi wake Mathius, lakini pia
katika hali ambayo hakuitegemea usiku wa siku hiyo aliyouawa Mathius
aliingia mikononi mwa vijana wanne waliompeleka kwa mganga wa kienyeji
ndani ya msitu...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ILIPOISHIA RISASI JUMATANO:
Martha ndiye aliyekuwa mchokozi pale
kitandani. Alimshikashika Roi kwa kuanzia kichwani, akaja kifuani,
akampa kidole chake kwenye kinywa, Roi akakipokea, akamlalia kifuani
huku akianza kuhema kwa staili ya mahaba.
Mara, mlango mkubwa wa kuingilia sebuleni uligongwa…
“Mh! Martha! Si jamaa yako huyo kweli?”
JIACHIE NAYO MWENYEW...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
read more about Kajala story here down>>>>
Kajala Masanja ‘Kay.
Masanja ‘Kay’ amezua miguno na mishangao miongoni mwa wapenzi na wadau wa burudani...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
please pray for BANZA STONE
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’ akiugulia.
INASIKITISHA sana! Wakati hali
ya afya ya mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhani
Masanja ‘Banza Stone’ ikiwa ni mbaya nyumbani...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Read the followings story consines Godbless Lema>>>>>
MBUNGE
wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, amesitisha maandamano ya
kuishinikiza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuongeza muda katika vituo
vya uandikishaji, kufuatia mazungumzo yake na msajili...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MREMBO aliyewahi kuwa na uhusiano na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph
Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally, mwanzoni mwa wiki hii aliamriwa na Mahakama
ya Manzese/Sinza, amkabidhi mtoto kwa...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Nguza Vicking Babu Seya, (kulia) na Mtoto wake Papii Nguza.
Haruni Sanchawa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, leo katika Viwanja vya Chuo cha Magereza ya Ukonga jijini Dar, ana ratiba ya kuzungumza na maafande na maafisa wa...