Watu
wawili wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa kwenye ajali
iliyohusisha basi la kampuni ya National Express T.662 DEF, baada ya
kuacha barabara na kupinduka zaidi ya mara tatu katika eneo la kijiji
cha Tumuli, wilaya ya Mkalama mkoani Singida.
Waliofariki
ni dereva...
KIKOSI
cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imekamata jumla ya
watuhumiwa 13,626 na kuwafikishwa mahakamani kwa tuhuma mbalimbali,
ikiwemo dawa za kulevya na ujambazi wa kutumia silaha kwa kipindi cha
mwaka mmoja wa 2016.
Aidha,
hali ya uhalifu wa kutumia silaha katika...
Wanasema
mwanamke na mwanaume ni tofauti kwenye baadhi ya mambo, kimaumbile.
Lakini, sio yale mambo yenye kuonekana peke yake, kwani imebainika sasa
ni kwamba, tofauti huenda hadi kwenye usingizi. Ni kwamba mwanamke na
mwanaume huota tofauti.Kwa hiyo, hata wakiwa usingizini, mwanamke...
Ni
ngumu na kamwe siyo rahisi kumbadilisha mtu mwenye tabia ngumu awe
rafiki. Badiliko hili lawezekana ikiwa mhusika (mwenye tabia ngumu)
atadhamiria na kuwatayari kushughulika ili kubadilika.Kwa
hiyo kama ni ngumu au haiwezekani kumbadilisha basi jaribu kubadili
mtazamo wako na...
UONGOZI wa Soko la Samaki la Kimataifa la Feri, Dar es Salaam
umewakamata watu 13 wanaohusishwa kuvua shehena ya samaki 473 karibia
tani 1.3 wenye thamani ya Sh milioni 13 kwa kutumia mabomu.
Samaki hao aina ya kolekole, jodari, changu, pono, sehewa na nguru
waliingizwa sokoni hapo...
MTO Ruaha Mkuu unaopita ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (Runapa)
umekauka maji. Hali hiyo inatishia uhai wa wanyama waliopo katika
hifadhi hiyo kubwa kuliko zote nchini.
Gazeti hili lilitembelea hifadhi hiyo wiki iliyopita na kushuhudia
wanyama wakihangaika kutafuta maji huku samaki,...