Friday 1 February 2019

SERIKALI KUONGEZA NGUVU YA SEKTA BINAFSI KUWAINUA WAJASIRIAMALI ILALA

...
Na Heri Shaban Serikali imesema itashirikiana na Kampuni ya Guru Planet kuwainua Wajasiriamali wa Wilaya ya Ilala. Hayo yalisemwa na Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto wakati wa ufunguzi wa tamasha la Wajasiriamali lililoandaliwa na Kampuni ya Guru Planet kwa kushirikiana na Manispaa ya Ilala Dar es Salam jana ambapo zaidi ya vikundi 300 vimeshiriki. Akizunguza katika tamasha hilo Naibu Meya Ilala Kumbilamoto alisema dhumuni la manispaa ya Ilala kufanya tamasha Kwa kushirikiana na Kampuni ya Guru Planet ulitokana na Guru Planet imekuwa ikiendesha shughuli zake za kuwajengea…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger