Tuesday, 5 February 2019

Breaking: KIKAO CHA BUNGE CHAAHIRISHWA GHAFLA BAADA YA ALARM KUASHIRIA HATARI KULIA

...

Habari za hivi punde kutoka Dodoma zinasema kikao cha Bunge kimesitishwa kwa muda baada ya alarm kulia ghafla Bungeni saa 5:02 asubuhi na wabunge wametoka nje akiwemo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. 

Taarifa tutakuletea hivi punde.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger