Habari za hivi punde kutoka Dodoma zinasema kikao cha Bunge kimesitishwa kwa muda baada ya alarm kulia ghafla Bungeni saa 5:02 asubuhi na wabunge wametoka nje akiwemo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Taarifa tutakuletea hivi punde.
Taarifa tutakuletea hivi punde.
0 comments:
Post a Comment