Na Allawi Kaboyo – Bukoba Kagera. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Kangi Lugola, ameanza Rasmi ziara yake Mkoani Kagera ambapo amekutana na idara pamoja na taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo, na kisha kufanya Mkutano wa hadhara katika viwanja vya mayunga mjini Bukoba sambamba na kusikiliza kero za wananchi. Mhe.Lugola katika hotuba yake iliyojaa ufafanuzi wa Utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya ccm unaofanywa na Mh. Rais John Pombe Magufuli, katika Kusimamia amani ya nchi na watanzania kwa ujumla, na kuwa Mh. Rais hapendi kusikia mwananchi…
0 comments:
Post a Comment