Saturday 26 January 2019

CHUO KIKUBWA CHA UFUNDI STADI VETA KUANZA KUJENGWA KAGERA.

...
Na,Mwandishi Wetu-Kagera Serikali imekamilisha miundombinu yote muhimu ikiwemo Maji, umeme na barabara kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa Chuo Cha Ufundi stadi VETA mkoani Kagera. Kauli hiyo ya serikali imetolewa na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako baada ya kuzindua chanzo Cha Maji ambacho kitatumika kwa ajili ya kujenga VETA hiyo katika kijiji Cha Burugo, Kwenye halmashauri ya Bukoba. “Dhamira ya Serikali ya awamu ya Tano ni kuwa nchi ya uchumi wa kati hadi ifikapo mwaka 2025 ili kutimiza malengo hayo ndiyo serikali imewekeza zaidi katika kujenga…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger