Thursday 31 January 2019

FEDHA ZA TANAPA MILIONI 200 ZALETA KIZAAZAA ,MADIWANI TARIME WATAKA USHAHIDI WA WARAKA.

...
Na Dinna Maningo,Tarime. Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime mkoani Mara wameitaka halmashauri kuwaonyesha ushahidi wa waraka wa mapokezi ya fedha milioni 140 kutoka Hifadhi za Taifa TANAPA huku wakidai kuwa pesa zilizotolewa ni milioni 200. Agizo hilo limekuja wakati Madiwani wakiuliza maswali ya papo kwa papo ambapo Diwani wa kata ya Nyanungu Ryoba Mang’eng’i (Chadema) alihoji kiasi gani cha pesa kutoka hifadhi za Taifa kilichopokelewa na Halmashauri,fedha ambazo utolewa kama ujirani mwema kutokana na Halmashauri hiyo baadhi ya vijiji vyake kupakana na Hifadhi ya wanyama ya Serengeti. ”…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger