Na Maiko Luoga Njombe Wananchi wa Jimbo la Lupembe katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Mkoani Njombe Wamempongeza Mbunge wa Jimbo Hilo Mh. Joramu Hongoli Kwakile walichoeleza Kuwa Mbunge Huyo Anafanya Kazi kwa Umoja na Mshikamano na Wananchi wake Ikiwemo Kufika Mara kwa Mara Jimboni humo na Kusikiliza Kero zinazowakabili. Wakizungumza na Mwandishi wetu Aliyetembelea Baadhi ya Kata jimboni humo Ikiwemo kata za Lupembe, Matembwe, Ikuna, Kidegembye Pamoja na Idamba Wananchi hao Walisema Kuwa Kupitia Msukumo na Ufuatiliaji wa Mbunge Huyo Tayari Serikali Kupitia Rais Magufuli Imetoa Fedha Kiasi cha…
0 comments:
Post a Comment