Thursday, 3 January 2019

KOCHA MBELGIJI WA SIMBA AWASHA TAA NYEKUNDU,ATANGAZA REKODII HII WALIYOEWEKA YANGA

...
WAKATI timu ya Yanga ikiwa haijafungwa hata mchezo mmoja katia mechi za ligi kuu soka Tanzania Bara,Kocha mkuu wa Mabingwa wa Ligi kuu hiyo Timu ya Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems amesema nao wao watahakikisha  katika mechi zao 24 za Ligi Kuu Bara zilizobaki, hawatafungwa kwenye uwanja wao wa nyumbani kwa lengo la kuipiku Yanga na kutetea ubingwa wao. Kocha huyo ambaye anasifika kwa “Fomesheni’  ya alisema kuwa licha ya wapinzani wao Yanga kuwa juu katika msimamo wa ligi hiyo siyo kigezo cha wao kushindwa kutetea ubingwa wao. Yanga inaongoza msimamo…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger