WAKATI timu ya Yanga ikiwa haijafungwa hata mchezo mmoja katia mechi za ligi kuu soka Tanzania Bara,Kocha mkuu wa Mabingwa wa Ligi kuu hiyo Timu ya Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems amesema nao wao watahakikisha katika mechi zao 24 za Ligi Kuu Bara zilizobaki, hawatafungwa kwenye uwanja wao wa nyumbani kwa lengo la kuipiku Yanga na kutetea ubingwa wao. Kocha huyo ambaye anasifika kwa “Fomesheni’ ya alisema kuwa licha ya wapinzani wao Yanga kuwa juu katika msimamo wa ligi hiyo siyo kigezo cha wao kushindwa kutetea ubingwa wao. Yanga inaongoza msimamo…
0 comments:
Post a Comment