Thursday, 31 January 2019

SIMBA YAMUUZA KICHUYA MISRI

Kichuya (kushoto) akiwa na Okwi Baada ya jana klabu ya Simba kuweka wazi kuwa ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na klabu ya Pharco ya Misri juu ya uhamisho wa Kichuya, hatimaye leo dili hilo limekamilika na Kichuya sasa si mchezaji wa Simba tena. Akiongea na www.eatv.tv Mtendaji mkuu wa Simba Crescentius...
Share:

YANGA SC YAITOA BIASHARA UNITED KWA MATUTA, YATINGA 16 BORA ASFC

Yanga SC imefanikiwa kwenda hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya ushindi wa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 90. Waliofunga penalti za Yanga SC ni Heritier Makambo, Paul Godfrey, Ibrahim Ajibu, Thabani Kamusoko na Matheo Anthony, za Biashara United...
Share:

TGNP MTANDAO YATOA MAPENDEKEZO MANNE TUKIO LA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE

Mkurugenzi Mtendaji TGNP Mtandao Lilian Liundi TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UKATILI DHIDI YA WATOTO HAUKUBALIKI, HAUVUMILIKI, TUWALINDE WATOTO. TGNP Mtandao kwa kushirikiana na wadau wa haki za wanawake, watoto  na usawa wa kijinsia tunatoa salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza...
Share:

KIKOSI CHA INTELIJENSIA CHAINGIA RASMI NJOMBE KUONGEZA NGUVU YA UPELELEZI WA MAUAJI

Na.Amiri kilagalila Kamishna wa operesheni na mafunzo ya jeshi la polisi nchini NSATO MARIJANI akiwa na wataalamu wengine wa intelijensia wamefika mkoani Njombe ili kuungana na jeshi la polisi mkoani humo katika kupambana na mauaji dhidi ya watoto wadogo. kikosi hicho maalumu kimewasili mkoani Njombe Ikiwa ni siku moja imepita tangu naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi amuagize IGP SIMON SIRRO...
Share:

TUNDU LISSU AMJIBU NDUGAI " BUNGE HALIJAWAHI KUNILIPA HATA SENTI MOJA'

Tundu Lissu amesema Bunge la Tanzania halijawahi kutoa hata senti moja kugharamia matibabu yake. Lissu ambaye ni mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 31, 2019 saa chache tangu Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kusema Desemba 2018, Lissu alikuwa amelipwa...
Share:

BAWACHA TAIFA WALAANI VITENDO VYA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE

Baraza la wanawake Chadema Tanzania (BAWACHA) wameungana na watanzania wengine hususani wananchi wa mkoa wa Njombe kulaani vitendo vya mauaji ya watoto yaliyotokea hivi karibuni mkoani humo . Katika taarifa iliyotolewa na mwenyekitiki wa Baraza hilo Taifa HALIMA MDEE imeeleza kuwa Kwa kipindi cha takriban mwezi mmoja sasa kumekuwa na habari za kutisha kutoka mkoani Njombe ambapo vyombo vya habari...
Share:

MALORI 8 YALIYOSHEHENI MBAO NA MKAA YAKAMATWA NA TRA NJOMBE KWA KUKWEPA KODI

Na Amiri kilagalila Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Njombe inayashikilia Magari makubwa 8 yaliyosheheni mizigo ya Mbao kwa makosa ya kukwepa kulipa Kodi. Akizungumza na waandishi wa habari mapema siku ya leo katika kituo cha ukaguzi wa Magari kilichopo kibena njia panda ya kuelekea lupembe halmashauri ya mji wa Njombe,meneja wa TRA mkoa wa Njombe MUSA SHAABAN alisema kuwa malori hayo yanashikiliwa...
Share:

WEMA SEPETU NA DIAMOND PLATNUMZ USO KWA USO.. WAZUA GUMZO LA AINA YAKE

Msanii wa Bongo Fleva, Wema Sepetu na Diamond Platnumz leo Alhamisi Januari 31, 2019 wamekuwa kivutio katika viwanja vya Leaders Club ambako mkutano kati ya wasanii na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda unatarajiwa kufanyika. Diamond amewasili viwanja hivyo majira ya saa 9:15 alasiri akiwa...
Share:

MABINTI WACHAPANA MAKONDE BAADA YA JAMAA KUWAAMBIA ANAOA MREMBO MWINGINE

Picha haihusiani na habari hapa chini Mabinti wawili wanauguza majeraha ya kuwekeana baada ya kutwangana makonde wakizozania jamaa mmoja eneo la Kithyoko Kaunti ya Machakos nchini Kenya waliyekuwa wakimmezea mate.  Inadaiwa kwamba jamaa huyo aliwaalika kwake na kuwaarifu kuhusu mipango yake...
Share:

NDUGAI : NI VYEMA WATANZANIA WAKAJUA HUYU MWENZETU 'ZITTO KABWE' NI MUONGO

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai amemtaka Mbunge wa Kigoma mjini Mhe. Zitto Kabwe amwogope Mungu na aache kuwa mwongio kwenye taarifa zake ikiwa ni pamoja na tuhuma za upotevu wa Shilingi trilioni 1.5. Akizungumza bungeni leo Alhamisi Januari 31, 2019 Ndugai amesema...
Share:

KESI YA MBOWE NA MATIKO YAPANGIWA HAKIMU MPYA

Kesi inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama na Wabunge 7 wa Chadema, imeendelea leo ambapo imepangiwa Hakimu mpya anayejulikana kwa jina la Kelvin Mhina. Hatua hiyo ya kesi hiyo Na.112/2018 kupangiwa Hakimu mpya imekuja baada ya aliyekuwa Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Dar es salaam, Wilbard...
Share:

MBUNGE WA CHADEMA GODLESS LEMA ATANGAZA KUJIUZULU

Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA), Godbless Lema. Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA), Godbless Lema amesema kuwa endapo Spika wa Bunge Job Ndugai atalithibitishia bunge kuhusu kauli yake dhidi ya matibabu ya Lissu, yeye atakuwa tayari kujiuzulu. Lema ametoa kauli hiyo kwenye ukurasa wake wa 'twitter'...
Share:

NDUGAI SASA KU- DILI NA TUNDU LISSU "ADAI AMELIPWA MIL 250 KUTOKA BUNGENI"

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuanzia sasa ataanza kumjibu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kwa kuwa ana amini amepona na kwamba tayari ameshalipwa Sh250milioni kutoka bungeni. Ndugai ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 31, 2019 bungeni mjini Dodoma baada ya...
Share:

RUFAA YA DHAMANA YA MBOWE NA MATIKO KUANZA KUSIKILIZWA FEBRUARI 18

 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa rufaa ya kupinga dhamana iliyokatwa na upande wa mashtaka dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko itaanza kusikilizwa Februari 18, 2019 katika Mahakama ya Rufaa. Taarifa hiyo umetolewa leo Alhamisi...
Share:

MKE AMCHOMA MMEWE KWA MAJI YA MOTO SEHEMU ZA SIRI

Jamaa mmoja mwenye umri wa makamo amekimbizwa hospitalini kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya baada ya mkewe kumchoma kwa maji moto kwenye sehemu nyeti/sehemu za siri.  Inaelezwa kuwa jamaa huyo alipigiwa simu na mmoja wa wateja wake wa kike akimjuza kuhusu nafasi ya kazi ila mkewe alidhani alikuwa...
Share:

FEDHA ZA TANAPA MILIONI 200 ZALETA KIZAAZAA ,MADIWANI TARIME WATAKA USHAHIDI WA WARAKA.

Na Dinna Maningo,Tarime. Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime mkoani Mara wameitaka halmashauri kuwaonyesha ushahidi wa waraka wa mapokezi ya fedha milioni 140 kutoka Hifadhi za Taifa TANAPA huku wakidai kuwa pesa zilizotolewa ni milioni 200. Agizo hilo limekuja wakati Madiwani wakiuliza maswali ya papo kwa papo ambapo Diwani wa kata ya Nyanungu Ryoba Mang’eng’i (Chadema) alihoji kiasi gani...
Share:

WAZIRI UMMY ATOA MABATI 200 KUSAIDIA UJENZI WA SHULE TANO ZA SEKONDARI JIJINI TANGA

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) Ummy Mwalimu kulia akimkabidhi Mabati 200 Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji kulia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tanga Hamis Mkoba. Waziri...
Share:

MKURUGENZI MPYA BENKI YA CRDB ATAMBULISHWA RASMI MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Ushirika na Maendeleo Vijijini (CRDB), Abdulmajid Nsekela (aliyesimama) ametambulishwa rasmi kwa wafanyakazi na wateja wa benki hiyo Kanda ya Ziwa Mwanza na Shinyanga. Hafla ya kumtambulisha Mkurugenzi huyo aliyechukua nafasi ya Dkt. Charles Kimei imefanyika...
Share:

CHANGAMOTO ZAAINISHWA UTEKELEZAJI SERIKALI MTANDAO

Kaimu katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Micky Kiliba akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Serikali mtandao kilichofanyika leo jijini Dodoma Kaimu katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. Micky Kiliba...
Share:

WADAIWA KUNYWA DAWA ZA ARV BILA KUPIMA VIRUSI VYA UKIMWI

Mkurugenzi mkuu wa Tume ya Kupambana na Ukimwi Tanzania (Tacaids), Dk Leonard Maboko amesema Watanzania wengi wana mwamko wa kutumia dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi (ARV) kuliko kujua hali zao. Dk Maboko alibainisha hayo jana wakati akizindua mpango mkakati wa miaka mitano wa taasisi ya kupambana...
Share:

Wednesday, 30 January 2019

SOT, PRALENA KUCHANGISHA MILIONI 45

Taasisi ya Michezo ya watu wenye Ulemavu wa Akili Tanzania, Special Olympics inahitaji shilingi milioni 45 kwa ajili ya kuisaidia timu ya Taifa inayotarajia kushiriki michezo ya Dunia itakayofanyika mwezi Machi mwaka huu, Abu Dhabi Falme za Kiarabu (UAE). Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini...
Share:

POLISI ALIYEUA MKE NA MTOTO AMEJIUA KWA KIPANDE CHA CHUPA

Afisa mmoja wa polisi aliyeshtakiwa kwa madai ya kumuua mkewe pamoja na mtoto mwenye umri wa miaka 5 katika kambi ya maafisa wa kupambana na wezi wa mifugo eneo la Suswa Machi 2018, amejiua.  Cosmas Kipchumba Biwott, 27, ambaye alikuwa amesimamishwa kazi kwa muda, alijiua Jumanne, Januari 29...
Share:

SAKATA LA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE LATUA BUNGENI…LUGOLA ASEMA NI USHIRIKINA.

Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Kangi Lugola amesema imebainika kuwa mauaji ya watoto mkoani Njombe ni ya imani za kishirikina. Lugola ametoa kauli hiyo leo Jumatano Januari 30, 2019 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la nyongeza lililoulizwa na mbunge wa Mufindi Kusini (CCM), Mendrad Kigola. Mbunge huyo amehoji ni mkakati gani umewekwa na Serikali katika kukomesha mauaji ya watoto...
Share:

IGP SIRRO AAGIZWA KUTUMA TIMU YA WATAALAMU NJOMBE KUSAIDIA UPELEZI MAUAJI YA WATOTO

Na.Amiri kilagalila Naibu waziri wa mambo ya Ndani ya nchi HAMAD MASAUNI amemuelekeza Inspecta genarali wa polisi SIMON SIRRO kutuma timu ya wataalamu mbali mbali mkoani Njombe ili kusaidiana na jeshi la polisi mkoani humo kupambana na vitendo vya utekaji na mauji ya watoto wadogo. Agizo hilo limetolewa mkoani Njombe wakati waziri wa mambo ya Ndani akizungumza na waandishi wa habari na kutoa tathmini...
Share:

Tanzia : ALIYEZAWADIWA MILIONI 100 NA JPM KWA KUGUNDUA MADINI YA TANZANITE AFARIKI DUNIA

  Mvumbuzi wa madini ya Tanzanite, Jummane Ngoma amefariki dunia leo Jumatano Januari 30, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) alikokuwa akipatiwa matibabu. Mtoto wa marehemu, Hassan Ngoma amesema, “Ni kweli Mzee amefariki leo jioni hii hapa Muhimbili,” amesema Ngoma Hassan amesema...
Share:

FACEBOOK KUUNGANISHA WHATSAPP, INSTAGRAM NA MESSENGER

Facebook ina mipango ya kuunganisha huduma zake za kutuma ujumbe katika Instagram, WhatsApp na Facebook Messenger. Licha ya kwamba huduma zote tatu zitasalia kuwa programu huru zitashirikiana kupitia ujumbe utakaotumwa kutoka huduma moja hadi nyingine. Facebook imeambia BBC kwamba ndiyo mwanzo wa...
Share:

POLISI YAMSHIKILIA MWANAUME NA MCHEPUKO KWA KUMUUA MKE WAKE

Mary Wambui  anadaiwa kuuawa na mume wake Joseph Kori kwa ushirikiano na mwanamke(mchepuko) Judy Wangui.  Wangui alikuwa mfanyakazi wa zamani wa Kamangara na kulingana na ripoti zilizosambaa ni kwamba alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mume wa bosi wake.  Inadaiwa kulitokea ugomvi...
Share:

TAARIFA ZA SIRI ZA WATU 140,000 WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI ZAIBIWA NA KUVUJISHWA MTANDAONI

Taarifa za siri za watu zaidi ya 14000 waliyo na virusi vya HIV wakiwemo raia wa wageni zimeibiwa nchini Singapore na kuvujishwa mitandaoni. Udukuzi huo unakuja miezi kadhaa baada ya rekodi za watu milioni 1.5 wa Singapore akiwemo waziri mkuu Lee Hsein Loong kuibiwa mwaka jana. Taarifa za kibinafsi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger