
Kichuya (kushoto) akiwa na Okwi
Baada ya jana klabu ya Simba kuweka wazi kuwa ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na klabu ya Pharco ya Misri juu ya uhamisho wa Kichuya, hatimaye leo dili hilo limekamilika na Kichuya sasa si mchezaji wa Simba tena.
Akiongea na www.eatv.tv Mtendaji mkuu wa Simba Crescentius...