Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amefanya kikao na Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani humo kuhusu matukio ya mauaji ya watoto yaliyoanza Novemba mwaka jana. Jenerali Mabeyo ambaye ni Mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama amesema kuwa yuko mkoani humo kwa ajili ya kufuatilia maendeleo ya zoezi la kukabiliana na matukio hayo kwakuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinashirikiana. “Vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kwa kushirikiana ikiwa ni pamoja na jeshi. Na mimi kama Mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi…
0 comments:
Post a Comment