Monday, 11 February 2019

SIMBA YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE, KUELEKEA KWENYE MCHEZO DHIDI YA AL AHLY

...
Na Shabani Rapwi. Klabu ya Simba SC imewaomba radhi mashabiki wake kuelekea kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri utakaopigwa siku ya kesho Jumanne kwenye dimba la Taifa, Jijini Dar es Salaam, Saa 10:00 Jioni, kuwa tiketi za Platinum hazitakuwepo kwenye mchezo huo. Taarifa iliyotolewa hii leo Jumatatu na klabu hiyo kupitia mtandao wa Twitter kuwa tiketi za Platinum hazitakuwepo kwenye mchezo wa hapo kesho dhidi ya Al Ahly kama awali ilivyo tangazwa, huku walikuwa wameshanunua tiketi hizo watarudishiwa pesa zao na…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger