Tuesday, 5 August 2025

NILIWAFUMANIA MPENZI WANGU NA DADA YANGU MIAKA MITATU BAADAYE NINA HARUSI NA WAO BADO HAWANA WAPENZI

...

Nilikuwa na miaka 24 tu wakati moyo wangu ulipasuliwa vipande vipande na watu wawili ambao niliwategemea zaidi duniani mpenzi wangu wa miaka miwili na dada yangu wa damu. 

Ilikuwa ni siku ya Jumamosi jioni niliporudi nyumbani mapema kutoka kazini baada ya mkutano wetu kuahirishwa ghafla. Sikuwa nimewapa taarifa, na nadhani hiyo ndiyo iliyofanikisha kile kilichofuata.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger