
Nilikuwa na miaka 24 tu wakati moyo wangu ulipasuliwa vipande vipande na watu wawili ambao niliwategemea zaidi duniani mpenzi wangu wa miaka miwili na dada yangu wa damu.
Ilikuwa ni siku ya Jumamosi jioni niliporudi nyumbani mapema kutoka kazini baada ya mkutano wetu kuahirishwa ghafla. Sikuwa nimewapa taarifa, na nadhani hiyo ndiyo iliyofanikisha kile kilichofuata.
0 comments:
Post a Comment