Tuesday, 5 August 2025

ALISHINDA BAHATI NASIBU YA KIMATAIFA KWA TIKETI YA MTANDAONI NA SASA ANASAFIRI DUNIANI KWA STAREHE

...

Jina langu ni Saidi kutoka Tanga, na hadi leo bado siamini maisha niliyonayo sasa. Kuna wakati nilikuwa napambana tu kupata hela ya nauli, sasa hivi nasafiri duniani kama mtu wa hadhi, nikilala hoteli za nyota tano, nikila chakula cha kifahari, na hata kupewa heshima ya mgeni mashuhuri kwenye baadhi ya mataifa. Yote haya yalianza kwa kubonyeza tu linki ya tiketi ya bahati nasibu mtandaoni.

Nilikuwa tu kwenye simu yangu jioni moja baada ya kazi ya mchana ya kubeba mizigo bandarini. Niliona tangazo kwenye mtandao kuhusu bahati nasibu ya kimataifa, tiketi ilikuwa dola 5 tu. Kwa kawaida siamini mambo kama hayo, lakini kuna kitu ndani yangu kilinisukuma nijaribu.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger