
Nisingeamini kama mtu anaweza kuja kuvuruga ndoa ya miaka 12 kwa kuhubiri ‘Mungu ameniambia nitakuwa mke wako’. Lakini ndivyo ilivyotokea.
Mie ni mke wa ndoa ya kwanza, tulibarikiwa na watoto watatu, maisha yetu yalikuwa ya kawaida ila ya amani. Mume wangu alikuwa mcha Mungu, lakini alivyoanza kuhudhuria maombi kwenye kanisa jipya, alianza kubadilika taratibu.
0 comments:
Post a Comment