Wednesday, 18 September 2019

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Yakanusha Kuhusu Taarifa Ya Sarafu Ya Shilingi 3,000

...
Benki Kuu ya Tanzania inapenda kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba mwezi Julai 2019 ilitoa sarafu ya kumbukumbu ya visiwa vya Dokdo yenye thamani ya shilingi 3000. 

Benki Kuu inapenda kuufahamisha umma kuwa taarifa hizo si za kweli na kwamba sarafu hiyo siyo mali ya Benki Kuu ya Tanzania na haijatolewa na Benki Kuu kwa njia yoyote ile na wala Benki Kuu haijawahi kuingia mkataba na kampuni yoyote kutoa sarafu hiyo.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger