Na Amiri kilagalila Mkazi wa kitongoji cha Ukindo kijiji cha Lugalawa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe aliyefahamika kwa jina la Osmund Joseph Mwinuka anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 37 amefariki dunia kwa kuchomwa na kisu maeneo ya tumboni na mke wake kwa sababu ya Mapenzi. Akizungumza na mtandaao huu kwa Njia ya simu mmoja wa mashuhuda aliyefika katika tukio hilo ambaye hakutaka kutajwa jina lake,amesema kuwa mwanaume huyo fundi piki piki na mkulima wa kijiji hicho alichomwa na kisu na mke wake Anatoria Mtweve majira ya jioni baada ya…
0 comments:
Post a Comment