Friday, 15 February 2019

KATIBU MKUU TAMISEMI ARIDHISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA AFYA KATA YA IGOMA NYAMAGANA

...
Hayo yamebainishwa wilayani Nyamagana kwenye ziara maalum ya Katibu Mkuu ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi. Mhandisi. Joseph Nyamhanga, akiwa kwenye ukaguzi wa miradi ya maendeleo sekta ya Afya, Miundombuni ya Barabara pamoja na sekta ya Afya. Mhandisi Nyamhanga amepata fursa ya kutembelea ujenzi wa majengo sita ya mradi wa Kituo cha Afya Kata ya Igoma inayogharimu shilingi 400,000,000 za kitanzania. Akiwa eneo hilo hakusita kupongeza uongozi wa halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kuzingatia thamani ya fedha katika ujenzi wa majengo sita aliyozingatia ujenzi…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger