Na.Amiri kikagalila Chama cha wanasheria Tananganyika (Tanganyika low society) pamoja na vyama vingine kikiwemo chama cha mawikili Afrika mashariki mkoani Njombe wameiomba serikali kusogeza mahakama kuu mkoani humo pamoja na kuongeza idadi ya watumishi wa mahakama ili kukabiliana na idadi ya ongezeko kubwa la mashauri mahakamani. Ombi hilo limetolewa na mawakili hao kwa mkuu wa mkoa wa Njombe CHRISTOPHER OLESENDEKA,wakati wa kilele cha siku ya sheria nchini yaliyofanyika kimkoa katika mahakama ya wilaya ya Njombe. “ili kuboresha swala la utoaji wa haki kwa wakati tungependa kupendekeza ongezeko la idadi ya…
0 comments:
Post a Comment