Wednesday, 6 February 2019

MAWAKILI WAOMBA ISOGEZWE MAHAKAMA KUU NJOMBE

...
Na.Amiri kikagalila Chama cha wanasheria Tananganyika (Tanganyika low society) pamoja na vyama vingine kikiwemo chama cha mawikili Afrika mashariki mkoani Njombe wameiomba serikali kusogeza mahakama kuu mkoani humo pamoja na kuongeza idadi ya watumishi wa mahakama ili kukabiliana na idadi ya ongezeko kubwa la mashauri mahakamani. Ombi hilo limetolewa na mawakili hao kwa mkuu wa mkoa wa Njombe CHRISTOPHER OLESENDEKA,wakati wa kilele cha siku ya sheria nchini yaliyofanyika kimkoa katika mahakama ya wilaya ya Njombe. “ili kuboresha swala la utoaji wa haki kwa wakati tungependa kupendekeza ongezeko la idadi ya…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger