Na.Amiri kilagalila Wanawake mkoani njombe wametakiwa kuacha Tabia ya kutoa ujauzito na kutupa watoto wachanga wasio na hatia kwa kisingizio cha Ugumu wa Maisha kwani kufanya hivyo ni kinyume na matakwa ya Haki za Binadamu. Hayo yamesemwa na wananchi wa mtaa wa Mangula katika Halmashauri ya Mji wa Makambako mara baada ya kumkuta mtoto mchanga anayekadiliwa kuwa na miezi saba ambaye amewekwa kwenye ndoo na kutupwa na mama ambaye hajafahamika jina lake mpaka sasa katika eneo la uwanja wa amani mjini makambako. Aidha mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Mangula…
0 comments:
Post a Comment