Tuesday, 19 February 2019

MANCHESTER UNITED YATUMIA DAKIKA 14 KUTINGA ROBO FAINALI, FA CUP

...
Na Shabani Rapwi. Usiku wa Jana Jumatatu Manchester United wakiwa ugenini kwenye dimba la Stamford Bridge wameweza kupata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa michuano ya FA CUP na kuweza kutinga hatua ya robo fainali. United walipata goli la kwanza kupitia kwa nyota wao Ander Herrera mnamo ya dakika 31′ na dakika 14′ mbele mfaransa Paul Pogba akapachika goli la pili dakika ya 45′ mpaka kipindi cha kwanza kinakamilika United wakiwa mbele kwa goli 2-0. Kipindi cha pili kilianza kwa kasi sana huku Chelsea wakiwa wanataka…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger