Monday, 18 February 2019

BILIONI 27.4 ZAPITISHWA MPANGO WA BAJETI 2019-2020 HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE

...
Na Amiri kilagalila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Njombe mkoani Njombe limepitisha mpango wa bajeti wa shiringi bilioni 27.4 kwa mwaka wa fedha 2019-2020 ukilinganisha na bajeti ya mwaka wa fedha 2018-2019 iliyokuwa shiringi bilioni 22.5 sawa na ongezeko la asilimia 18 ya bajeti hiyo. Akisoma mpango wa bajeti hiyo kabla ya kupitishwa katika kikao cha baraza maalum la madiwani halmashauri ya wilaya ya Njombe,afisa mipango wa halmashauri hiyo ndugu Daniel Anganile,amesema ongezeko la asilimia 18 limetokana na kuongeza makisio ya vyanzo vya mapato ikiwa ni pamoja na…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger