Saturday 19 November 2022

MANISPAA YA SHINYANGA YASHINDA TUZO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA KUTOKA WIZARA YA AFYA

...

 


Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga imekuwa mshindi wa kwanza mashindano ya Tuzo ya Taifa ya Afya na Usafi wa Mazingira mwaka 2022, kundi la Halmashauri za Manispaa Tanzania Bara kutoka Wizara ya Afya.

Tuzo hizo zimetolewa leo Novemba 19, 2022 Jijini Dodoma.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger