Wednesday 16 July 2014

MAJINA YA WALIMU-NGAZI YA CHETI WALIOPANGIWA KWENDA KAMBI YA RWAMKOMA 822-KJ MUSOMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                         

WALIMU-CHETI KWENDA 822-RWAMKOMA

NAMKOANAMBA YACHUOJINA LA CHUOJINSIJINA LA 
MTAHINIWA
1 ARUSHA E0610 BISHOP DURNING TEACHERS' COLLEGE F AGNESS CRISPIN
2 DAR ES SALAAM E0559 ST. MARY'S TEACHERS' COLLEGE F AGNESS GAPI
3 ARUSHA E0571 ARUSHA TEACHERS' COLLEGE F AGNESS ISSACK
4 MBEYA E0524 MPUGUSO TEACHERS' COLLEGE F AGNESS JULIUS
5 MBEYA E0581 AGGREY TEACHERS' COLLEGE F AGNESS MBUGHI
6 MBEYA E0524 MPUGUSO TEACHERS' COLLEGE F AGNESS MURO
7 SINGIDA E0575 SINGIDA TEACHERS' COLLEGE F AGNESS E MBOWE
8 MOROGORO E0514 ILONGA TEACHERS' COLLEGE F AGNESS H MAIWE
9 NJOMBE E0528 TANDALA TEACHERS' COLLEGE F AGNESS PANCRAS MLELWA
10 ARUSHA E0571 ARUSHA TEACHERS' COLLEGE F AGNESS W SHIRIMA
11 MWANZA E0567 MONTESSORI KAWEKAMO TEACHERS' COLLEGE F AGNETHA GRESMO
12 MBEYA E0548 MBEYA-LUTHERAN TEACHERS' COLLEGE F AGNETHA MAHAVA
13 MBEYA E0581 AGGREY TEACHERS' COLLEGE F AGRIPA JECON CHAULA
14 ARUSHA E0571 ARUSHA TEACHERS' COLLEGE F AGRIPINA EDWARD MARO
15 MOROGORO E0514 ILONGA TEACHERS' COLLEGE F AGRIPINA J TEMBA
16 KIGOMA E0544 KABANGA TEACHERS' COLLEGE F AGRIPINA MNUBI YUVENT
17 RUKWA E0542 SUMBAWANGA TEACHERS' COLLEGE F AGUSTA A ALBET
18 KILIMANJARO E0513 MANDAKA TEACHERS' COLLEGE F AGUSTA PAUL MDALI
19 SINGIDA E0522 KINAMPANDA TEACHERS' COLLEGE F AGUSTINA PIUS ASSENGA
20 MBEYA E0581 AGGREY TEACHERS' COLLEGE F AIDA LUGANO
21 MBEYA E0581 AGGREY TEACHERS' COLLEGE F AILEN F SIMKOKO
   READ MORE........22 ARUSHA E0571 ARUSHA TEACHERS' COLLEGE F AINES MUNUO
Share:

Tuesday 15 July 2014

MAJINA YA WALIMU NGAZI YA CHETI WALIOPANGIWA KWENDA 821 KJ -BUROMBOLA JKT

NAMKOANAMBA YACHUOJINA LA CHUOJINSIJINA LA MTAHINIWA
1 KAGERA E0585 ST. FRANCIS NKINDO TEACHERS' COLLEGE F ABELLA CLEMENCE
2 DODOMA E0508 MPWAPWA TEACHERS' COLLEGE F ADAH S JAGWASY
3 KILIMANJARO E0513 MANDAKA TEACHERS' COLLEGE F ADASIA JONATHAN
4 NJOMBE E0528 TANDALA TEACHERS' COLLEGE F ADELA ALOICE MTUI
5 RUKWA E0618 AGGREY CHANJI TEACHERS' COLLEGE F ADELA DAMAS CHOGA
6 MBEYA E0597 MBEYA MORAVIAN TEACHERS' COLLEGE F ADELA E KAUNGO
7 RUKWA E0591 RUKWA TEACHERS' COLLEGE F ADELA H NZOWA
8 TABORA E0518 NDALA TEACHERS' COLLEGE F ADELA MARTIN LUJUO
9 MBEYA E0524 MPUGUSO TEACHERS' COLLEGE F ADELHELMA CHALLE
10 MOROGORO E0512 MHONDA TEACHERS' COLLEGE F ADELIADA KISWEKA
11 RUKWA E0591 RUKWA TEACHERS' COLLEGE F ADELINA MBOTWA
12 TANGA E0547 ECKERNFORDE TEACHERS' COLLEGE F ADELINA MTEGA
13 KILIMANJARO E0614 ARIZONA TEACHERS' COLLEGE F ADELINA E MBAGA
14 MANYARA E0613 WAAMA TEACHERS' COLLEGE F ADELINA J DAWITE
15 KILIMANJARO E0513 MANDAKA TEACHERS' COLLEGE F ADELINA MREMA EUGEN
16 IRINGA E0603 MUFINDI TEACHERS' COLLEGE F ADELINA STEPHANO NJAWIKE
17 KAGERA E0570 NYAMAHANGA TEACHERS' COLLEGE F ADELITHA MUKIZA
18 TANGA E0547 ECKERNFORDE TEACHERS' COLLEGE F ADIAH MICHAEL AHMADA
19 MBEYA E0524 MPUGUSO TEACHERS' COLLEGE F ADITA U MBUGHI
20 KILIMANJARO E0513 MANDAKA TEACHERS' COLLEGE F ADROFINA G NEMES
21 KAGERA E0573 BUKOBA LUTHERAN TEACHERS' COLLEGE F ADVELA SEVERINE
22 RUKWA E0591 RUKWA TEACHERS' COLLEGE F ADVELA PASKALI BUHAGA
23 SINGIDA E0575 SINGIDA TEACHERS' COLLEGE F ADVENTINA JOSEPHAT
24 KIGOMA E0544 KABANGA TEACHERS' COLLEGE F AESHI H HASSAN
25 KAGERA E0585 ST. FRANCIS NKINDO TEACHERS' COLLEGE F AFRA MUSHABI
26 LINDI E0532 NACHINGWEA TEACHERS' COLLEGE F AFRA C CHALELA
27 KILIMANJARO E0513 MANDAKA TEACHERS' COLLEGE F AGANILA M NGAMBEKI
28 KILIMANJARO E0586 NORTHERN HIGHLANDS TEACHERS' COLLEGE F AGATHA HYASENT
29 KILIMANJARO E0520 SINGACHINI TEACHERS' COLLEGE F AGATHA AWAKI MELKIZEDECK
30 SINGIDA E0522 KINAMPANDA TEACHERS' COLLEGE F AGATHA S ANTHONY




READ MORE............. 
Share:

CHADEMA :YATOA TAARIFA MAALUM YA MWENENDO WA BUNGE LA KATIBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema Dr Wilbrod  Slaa akionyesha kabrasha lenye mambombalimbali ya mikaba kuhusiana na kampuni ya IPTL na Excro Pamoja na taarifa maalum kuhusu mwenendo wa bunge maalum la katiba pia katibu mkuu ameongelea kuhusu mkutano mkuu utakaofanyika hivi
Share:

30 WATWISHWA ZIGO BUNGE LA KATIBA,MBOWE,WEREMA NDANI WENGINE SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
sittakampeni Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta
Na Mwandishi wetu
15th July 2014

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, kwa kushirikiana na Makamu Mwenyekiti, Samia Hassan Suluhu, wameteua wajumbe 30 wa Bunge hilo watakaoshiriki katika kikao cha kamati ya Mashauriano kitafachofanyika Julai 24 na 25 mwaka huu, katika ofisi ndogo za bunge jijini Dar es Salaam.
Share:

TRAFIKI WA KIKE: ATEKWA JIJINI DAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Alexander Msowoya (35), ambaye ni mkazi wa Chang’ombe, jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Magomeni akikabiliwa na shtaka la kumteka nyara askari wa kike wa usalama barabarani.

Akiwa anaendesha gari, mshtakiwa huyo anadaiwa kumteka Kostebo Ester katikati ya maeneo ya Tameke na Chang’ombe kabla ya kukamatwa maeneo ya katikati ya Mabibo na Ubungo baada ya msako mkali wa polisi waliokuwa wakitumia redio za upepo.
Share:

EDWARD LOWASSA:AFUNGUKA KUHUSU URAIS 2015,SOMA HAPA UKWELI WOTE



Naipenda Nchi yangu Tanzania, Namwamini Edward Lowassa 2015 kwa haya tu inatosha mimi kumpatia kura yangu pamoja na familia yangu yote 

1. Mwasisi na msimamizi wa Ujenzi shule za Kata zilijegwa jumla ya shule 2000 ndani ya miezi 6 tu ni kasoma leo watoto wa masikini wapo University . 

2. Ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji kutoka ziwa Victoria kwenda shinyanga, Tabora na Singida, 
Share:

CCM 2015:SUMAYE AMSHUKIA JANUARI AULIZA NANI HAJAWAHI KUWA KIJANA ADAI KWA KANUNI ZA CCM JANUARI NI MZEE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania.
Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (40), ya kuwataka wazee wakae pembeni na kuwachia vijana kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao.
Share:

BREAKING NEWZ-MOSHI:AJALI YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI YAPOTEZA MAISHA YA WATU WAWILI.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE TAR.15/07/2014,KUBWA KATIKA MAGAZETI NI TAMKO ZITO KWA KIKWETE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

3_00f9c.jpg
Share:

RIDHIWANI KIKWETE ATAJA MAJINA II WANAPOTOSHA KUGOMBEA URAIS 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ametaja majina 11 ya wanachama wa CCM wanaofaa kuwania urais kurithi kiti cha baba yake, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake mwakani.
Ridhiwani (35), ambaye alishinda kiti cha ubunge wa Jimbo la Chalinze Aprili mwaka huu, alitaja majina hayo katika mahojiano maalumu na gazeti hili yaliyofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.
Share:

UKATILI:HOUSEGIRL- MIAKA 8 AJERUHIWA NA BOSI WAKE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mtoto Miseto (8), anayedaiwa alikuwa akifanya kazi za ndani kwa mama mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mary Jerald mkazi wa Kijiji cha Busurwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara ameokotwa ufukweni mwa Ziwa Victoria Juni 28, mwaka huu akiwa amejeruhiwa na anayedaiwa ni bosi wake.
Share:

WEMA SEPETU ALIZWA TENA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KUNA STAA wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na shilingi 5,000,000 alizompa ili azihariri filamu zake mbili lakini kazi haikufanyika.
Share:

Monday 14 July 2014

KIKOSI CHA TIMU YA DUNIA HIKI HAPA-WORLD CUP 2012 TEAM OF THE TOURNMENT


INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Manuel Neuer (Germany);
Philipp Lahm (Germany),

Share:

WAZIRI GHASIA AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA NGAZI YA TAIFA MJINI MORO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

picha ya pamoja
WAZIRI wa Tamisemi, Hawa Ghasia, Julai 14, mwaka huu, amefungua mkutano wa Viongozi wa Vyama vya Siasa  vilivyokuwa na usajili wa kudumu ngazi ya Taifa  kujadili maoni ya wadau mbalimbali ya kuboresha kanuni za uchanguzi wa viongozi wa mamlaka za serikali za mitaa unaotarajia kufanyika Oktoba 2014.
Share:

MKE WA WA RIDHIWAN AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE‏

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete (kushoto) akimkabidhi zawadi ya vyombo vya ndani na Tende Mzee Ahmad Ramadhan mmoja wa wazee wa kijiji cha Changarikwa wakati alipotoa zawadi hizo kwa familia zenye mahitaji muhimu katika kata ya Mbwewe jana.
Share:

BRAZIL :FELIPE SCOLARI AACHIA NGAZI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Luiz Felipe Scolari.
KOCHA wa timu ya Taifa Brazil, Luiz Felipe Scolari ametangaza rasmi kuachia nafasi ya ukocha katika kikosi hicho baada ya matokeo mabaya katika michuano ya Kombe la Dunia 2014.
Share:

KILIMANJARO:WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA BAADA KUFUNIKWA NA KIFUSI MKOANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali.
Share:

GERMANY YABEBA KOMBE LA DUNIA,YAIFUNGA ARGENTINA 1-0,LIONE MESSI AWA MCHEZAJI BORA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                   GERMANY 1-0 ARGENTINA
kwa mara ya kwanza timu ya taifa ujerumani imetwaa kombe la dunia ikiwa katika ardhi ya  america ya kusini;Ujerumani imetwaa taji hilo ikiwa ni mara ya kwanza tangu 1990.

Pongezi za pekee ziende kwa mshambuliaji Mario Goetze ambae alitokea bench na kufunga goli na kuiwezesha ujerumani  kuongoza kwa ushindi wa goili 1-0 katika dakika ya 113.
Share:

Sunday 13 July 2014

FOOD SCIENCE WAULA NI BAADA YA, TBS KUPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WAFANYAKAZI 200

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

TBS KUPEWA KIBALI CHA KUAJIRI WAFANYAKAZI 200


Serikali  inatarajia kutoa vibali vya kuajiri  wafanyakazi 200 katika Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na zaidi ya asilimia 95 ya wafanyakazi hao wataongeza nguvu katika kutayarisha na kusimamia viwango vya ubora. 
Share:

BREAKING NEWZ:MWIMBAJI MWINGINE WA MUZIKI WA INJILI NCHINI AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Zikiwa ni takribani wiki tatu tangu tasnia ya muziki wa injili nchini kumpoteza mmoja wa waimbaji wake marehemu mchungaji Debora Saidi, taarifa ambazo GK imezipata ni kwamba mwimbaji mwingine wa muziki wa injili Orida Njole amefariki dunia mchana wa leo katika hospitali ya Temeke jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Share:

MAHUSIANO: HIZI NI DALILI ZA MSICHANA MWENYE MAPENZI KWA MWANAUME JAPO HAWEZI KUSEMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
1 KUONGEA NA KUKAA MUDA MWINGI NA WEWE
 
kama msichana anakupenda hatoichezea nafasi ya kukuona kukaa na kuongea na wewe. Siku zote atatafuta nafasi ya kuongea au kukuona. Unapoongea naye anakuwa makini kukusikiliza na hufurahi kila unachokiongea hata kama hakifurahisha.
Share:

TAFAHDALI KAMA UNAJUA UMEFUNGA USIINGIE HAPA,NI KWA WAKUBWA TU

 


MAMBO MAKUU 4 UNAPOKUWA CHUMBANI
NA MPENZI WAKO
Mambo ya Chumbani hayoooo!!
Fahamu mambo 4 muhimu unayopaswa
kuyazingatia uwapo chumbani na mpenzi
wako mnapotaka kufanya mapenzi
1. WEKEZA MAWAZO YAKO KWA MPENZI
WAKO
Share:

VIDEO MPYA YA PROFESSOR NA DIAMOND WIMBO WA KIPI SIJASIKIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Msanii wa muziki wa Hip Hop Professor Jay ameanza ku-shoot video ya wimbo ‘Kipi Sijasika’ ambao amemshirikisha msanii Diamond.
Professor Jay akiwa na pingu mkononi na P-Funk akiwa kwenye vazi la jaji
Professor Jay akiwa na pingu mkononi na P-Funk akiwa kwenye vazi la hakimu
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 13.07.2014-KUBWAA SOMA "KAULI YA MWISHO YA BALALI"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

HUYU NDIO REFA ATAKAECHEZESHA MECHI YA FAINALI KATI YA GERMANY NA ARGENTINA,SOMA HISTORIA YAKE KISOKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Nicola Rizzoli amechaguliwa na Fifa kuwa mwamuzi katika mchezo wa fainali - Kombe la Dunia Brazil 2014 kati ya Ujerumani na Argentina.
Howard Webb kutoka England, aliyechezesha fainali ya Kombe la Dunia 2010 Afrika Kusini, aliorodheshwa lakini hakuchaguliwa.
Share:

UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE OLADUNIA BAADA YA KUISMABARATISHA BRAZIL KWA MAGOLI 3-O

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014.
Share:

Saturday 12 July 2014

UHAMISHO WA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA MWEZI JUNI 2014 -WATUMISHI 3733 WAHAMISHWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU 
                 
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
                                                            TANGAZO:
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina 3,733 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za Serikali za mitaa nchini,Aidha orodha ya watumishi 112 ambao hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Share:

MAJINA WANAFUNZI WAPYA KIDATO CHA TANO NA MABADILIKO YA SHULE WALIZOPANGIWA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                        
KUBADILISHA SHULE NA TAHASUSI KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO 2014
Taarifa ya uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia kidato cha Tano katika Shule za Serikali na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 ilitangazwa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI mwezi Juni, 2014. Wanafunzi waliochaguliwa awali walitakiwa kuripoti kuanzia tarehe 10 – 30/7/2014 .
Baada ya taarifa ya Uchaguzi wa wanafunzi kutolewa, baadhi ya wanafunzi/wazazi/walezi wamewasilisha barua za maombi ya kuwabadilishia wanafunzi waliochaguliwa shule na tahasusi au mojawapo ya hivyo. Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI baada ya kupokea imechambua maombi hayo na kubaini kuwa sababu zilizotolewa kwenye baadhi ya maombi hayo zina tija na hivyo kulazimika kuridhia kuwabadilishia shule, tahasusi au vyote kwa pamoja baadhi ya wanafunzi hao.
Share:

MOROGORO :MTOTO AFICHWA UVUNGUNI KWA MIAKA 6

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Wakati jamii ikiwa bado haijasahau mateso aliyoyapata mtoto Nasra Mvungi na kusababisha  kifo chake, tukio lingine la aina hiyo limetokea katika Kijiji cha Matongola, Tarafa ya Magole Wilaya ya Kilosa, baada ya kubainika mtoto wa miaka sita akiwa amefichwa uvunguni mwa kitanda na kufanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi. 
Share:

FIFA :YATAJA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Orodha kamili:
Kiungo wa timu ya taifa ya Argentina, Ángel Fabián Di María Hernández.
Share:

ANGALIA ZIARA YA MH.PINDA UINGEREZA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu  (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano  ili kuzungumza na watanzania waishio Reading.
Share:

PICHA ZIKIMWONESHA JINI KABULA NA VIMINI RAMADHANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa sinema za Kibongo, Miriam Mjolwa ‘Jini Kabula’ amecharuka baada ya kukosolewa juu ya mavazi ya mitego, vimini, anayovaa ndani ya mwezi wa Ramadhani.
Share:

ANGALIA MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

8th July 2014 World Cup 2014

24

5th July 2014 World Cup 2014

9 10

4th July 2014 World Cup 2014

Share:

KAJALA AFUNGUAKA,ASEMA KUWA RAFIKI YAKE WEMA NI MNAFIKI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Share:

AJALI YA BASI LINDI:WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MPENZI WA ZAMANI WA DIAMOND ,PENY ACHUMBIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha EFM Radio, Penniel Mwingilwa 'VJ Penny'.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger