Friday, 6 September 2019

JAMII FORUMS YASHINDA TUZO YA DAUDI MWANGOSI 2019

...
Muungano wa Klabu za Waandishi wa habari nchini Tanzania (UTPC) umeitangaza Kampuni ya Jamii Forums kuwa mshindi wa Tuzo ya Mwangosi mwaka 2019.Mwenyekiti wa Jopo la Majaji wa Tuzo ya Daudi Mwangosi 2019,Charles Kayoka ameitangaza Jamii Forums kuwa mshindi wa Tuzo ya Daudi Mwangosi 2019 katika mkutano uliohudhuriwa viongozi wa Klabu za Waandishi wa habari nchini pamoja na wageni mbalimbali katika ukumbi wa Raha Leo,Zanzibar leo Septemba 6,2019.
Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Anders Sjoberg akimkabidhi tuzo ya Daudi Mwangosi,Mkurugenzi  Mtendaji wa Jamii Media inayomiliki Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Mello leo katika ukumbi wa Raha Leo,Zanzibar . Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkurugenzi  Mtendaji wa Jamii Media inayomiliki Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Mello akiangalia tuzo.
Mkurugenzi  Mtendaji wa Jamii Media inayomiliki Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Mello akionesha  tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.
Mkurugenzi  Mtendaji wa Jamii Media inayomiliki Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Mello akionesha  tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.
Mkurugenzi  Mtendaji wa Jamii Media inayomiliki Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Mello akipokea hundi ya shilingi milioni 10 ambayo ni zawadi ya Tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger