Monday, 9 September 2019

FAMILIA YAGOMA MUGABE KUZIKWA KWENYE MAKABURI YA MASHUJAA ZIMBABWE

...
Familia ya kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe imekataa shujaa huyo wa vita vya ukombozi kuzikwa katika makaburi ya kitaifa ya mashujaa na badala yake wanataka azikwe katika makaburi ya familia kama alivyousia wakati wa uhai wake.

Mwili wa Rais mstaafu wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe unatarajiwa kuzikwa Jumapili, Septemba 15,2019.

Rais Mugabe alifariki dunia Septemba 6 huko nchini Singapore alipokuwa akipatiwa matibabu tangu mwezi Aprili, 2019.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger