Friday, 6 September 2019

Dawa Lishe Ya Asili Ya Kunenepesha Na Kuongeza Mwili.

...
Je umekonda  na  kudhoofu  mwili  kutokana  na  sababu  mbalimbali  kama  vile msongo  wa  mawazo  na  kuugua  maradhi  mbalimbali kama  vile  kisukari nakadhalika ?

Unahitaji  kurejesha  mwili  wako  katika  hali  yake  ya  kawaida ?  Unahitaji kuongeza mwili na uzito wako ?

Kama  jibu  lako  ni  NDIO  basi  HII  NI  HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.

Neema  Herbalist  ni  duka  la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunayo   DAWA  LISHE  YA  ASILI  ambayo inanenepa  mwili  kwa watu  walio  dhoofu  na  kukonda  kwa  sababu  mbalimbali.

Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa  wateja  wetu  wa  jijini  DAR  ES  SALAAM  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  tunayo  huduma  ya  HOME & OFFICE  DELIVERY

Na  kwa  wateja  wetu  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  DAR ES  SALAAM  tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  mbalimbali  kama  vile  MABUS  au  BOTI kwa  wateja  wetu wa  ZANZIBAR.

Wasiliana  nasi  kwa  SIMU NAMBA : 0693  005 189




Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger