Wednesday, 4 September 2019

BREAKING: Ndege ya Air Tanzania Iliyokuwa Inashikiliwa Afrika Kusini Yaachiwa Huru

...
Mahakama Kuu ya jimbo la Gauteng imeamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa ikishikiliwa nchini Afrika Kusini kuachiwa mara moja na mlalamikaji alipe gharama za kesi

Ndege hiyo tayari ipo njiani kurejea nchini ikitokea katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johannesburg.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger