Mahakama Kuu ya jimbo la Gauteng imeamuru ndege ya Air Tanzania iliyokuwa ikishikiliwa nchini Afrika Kusini kuachiwa mara moja na mlalamikaji alipe gharama za kesi
Ndege hiyo tayari ipo njiani kurejea nchini ikitokea katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johannesburg.
Ndege hiyo tayari ipo njiani kurejea nchini ikitokea katika uwanja wa ndege wa OR Tambo jijini Johannesburg.
0 comments:
Post a Comment