Na Stephen Noel -Mpwapwa Akina mama wanaojifungua Katika wodi ya wazazi Hospital ya wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wanalazimika kulala wazazi wawili kwenye kitanda kimoja kutokana na uchache wa vitanda pamoja na udogo wa wodi hiyo Kauli hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa hospital hiyo Dkt, Hamza Mkingule alipo kuwa akitoa taarifa mbele ya mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha Mapinduzi Bi Laula Ngozi katika ziara yake aliyo ifanya wilayani hapa kwa lengo la kuadhimisha miaka 42 ya kuzaliwa kwa chama hicho. Dkt Mkingule amesema Hospital Hiyo iliyojengwa miaka…
0 comments:
Post a Comment