Wednesday, 13 February 2019

WODI YA WAZAZI HOSPITAL YA MPWAPWA YAZIDIWA NA WAGONJWA

...
Na Stephen Noel -Mpwapwa Akina mama wanaojifungua Katika wodi ya wazazi Hospital ya wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wanalazimika kulala wazazi wawili kwenye kitanda kimoja kutokana na uchache wa vitanda pamoja na udogo wa wodi hiyo Kauli hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa hospital hiyo Dkt, Hamza Mkingule alipo kuwa akitoa taarifa mbele ya mjumbe wa halmashauri kuu ya chama cha Mapinduzi Bi Laula Ngozi katika ziara yake aliyo ifanya wilayani hapa kwa lengo la kuadhimisha miaka 42 ya kuzaliwa kwa chama hicho. Dkt Mkingule amesema Hospital Hiyo iliyojengwa miaka…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger