Wednesday, 13 February 2019

WANANCHI MAKAMBAKO WAISHUKIA HALMASHAURI KUHUSU FIDIA

...
Na Amiri kilagalila Baadhi ya Wakazi wa mtaa wa Makatani Kata ya Lyamkena halmashauri ya Mji wa Makambako wameitupia lawama halmashauri ya mji huo kwa kuchelewa kulipa fidia ya eneo lililochukuliwa na serikali tangu mwaka 2014 kwa ajili ya ujenzi wa soko la mazao hali ambayo imetajwa kukwamisha shughuli za uzalishaji na maendeleo ya kudumu katika eneo hilo. Wakizungumzia kusuasua kwa utekelezaji wa mradi huo wakazi wa mtaa huo wamesema serikali imesababisha kuongezeka kwa ugumu wa maisha kwa wakazi wa mtaa huo ambao wameathiriwa na mpango wa ujenzi wa soko…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger