Na Amiri kilagalila Baadhi ya waganga wa jadi wasiokuwa na nia Njema wameanza kutoroka mkoani Njombe na kukimbilia mikoa ya jirani kutokana na msako mkali wa jeshi la polisi unaoendelea mkoani humo ili kuwabaini wanaojihusisha na ramli chonganishi zinazosababisha mauaji ya watoto. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,kamanda wa polisi mkoa wa Njombe RENATHA MZINGA amesema kuwa jeshi la polisi halitaweza kuwaacha wale wote waliokuwa na nia ovu na kuwatafuta popote pale walipo. “Tunao waganga 6 tunaowashikilia mpaka sasa kwa mahojiano na tulivyoanza na kamata kamata wale ambao wana…
0 comments:
Post a Comment