Thursday, 21 February 2019

WAFANYABIASHARA WAPOKEA MRADI WA UJENZI SOKO KUU TARIME UTAKAO GHARIMU BILIONI 8.

...
Na Dinna Maningo,Tarime. Wafanyabiashara katika soko kuu mjini Tarime wamepokea mradi wa ujenzi wa soko kuu jipya utakaogharimu zaidi ya Bilioni 8 fedha zilizotolewa na Serikali kuu huku wakiipongeza Serikali kuwezesha fedha ambazo zitafanikisha kujenga soko la kisasa tofauti na lililopo ambalo limepitwa na wakati. Akizungumza na Wafanyabiashara wa soko kuu viwanja vya shule ya msingi Nyamisangura,Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Tarime,Elias Ntiruhungwa  alisema kuwa baada ya kupokea fedha hizo  tayali halmashauri imetangaza zabuni kwa ajili ya ujenzi wa soko ambalo ni jengo la ghorofa litakalokuwa na maduka 419,vizimba…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger