Sunday, 3 February 2019

RAIS WA TFF AOMBA RADHI

...
Rais wa TFF, Wallace Karia amesema alimfananisha Mbunge Tundu Lisu na Richard Wambura kutokana na mambo wanayoyafanya. Wambura akisoma hotuba yake kwenye Mkutano Mkuu wa TFF jana Jumamosi jijini Arusha alisema watu wanaojifanya kina Tundu Lisu kwenye mpira hawatapewa nafasi. “Nilisema hivyo nikimfananisha Wambura na Tundu Lisu kutokana na namna watu hao wanavyozungumza kila siku. Kama kuna baadhi ya watu nimewakwaza katika hilo basi wanisamehe,” alisema Karia. Aidha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema awali kilimtaka Rais wa TFF Wallace Karia kumuomba radhi Mbunge wake na Mwanasheria Mkuu wa chama…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger