Tasnia ya Muziki nchini imepata pigo kwa kumpoteza Golden Mbunda maarufu kama Godzilla, aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam. Ingawa bado haijatolewa taarifa rasmi ya chanzo cha kifo cha rapa huyo mahiri, watu wa karibu wa msanii huyo wameleeza kuwa chanzo cha kifo chake ni shinikizo la damu pamoja na tatizo la tumbo. Mtu wa karibu wa Msanii huyo aliyejitambulisha kwa jina la Isabella ambaye alikuwa naye mara ya mwisho jana, saa chache kabla ya kufariki dunia, amesema msanii huyo alizidiwa ghafla akiwa…
0 comments:
Post a Comment