Thursday, 21 February 2019

KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA UKWAMA CHAKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO

...
Na Fatuma Mtemangani Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi mkoa wa Morogoro ndugu Heri Hozza ameendelea kutekeleza ahadi zake kwa.kupeleka vifaa vya michezo katika kituo cha kulelea watoto yatima cha UKWAMA kilichopo wilaya ya Ulanga Mkoa Morogoro. Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba ya mwenyekiti Ndugu Hozza katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Ulanga Bi.Jasmini Kihele amesema kuwa Jumuiya ya wazazi iko pamoja nae na itaendelea kushirikiana nae kwa mazuri na changamoto yeyote katika kituo hicho na asisite kutoa taarifa pale anapokuwa na tatizo lolote. Pia amempongeza mlezi wa kituo hicho…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger