Wednesday, 20 February 2019

BIBI ANUSURIKA KIFO KISA KUISHI NA WAJUKUU WEZI, WANANCHI WACHOMA NYUMBA YAKE

...
Na mwandishi wetu Iringa Mkazi wa Iringa kata ya Mwangata mtaa wa Ngelewala aliyefahamika kwa majina ya Agusta Sihava amejikuta katika wakati mgumu na kupelekea kuchomewa nyumba yake anayo ishi na wananchi wenye hasira kali wakimshinikiza kuhama eneo hilo kwasababu anaishi na wajukuu wezi. Ajuza huyo anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 70 alikumbana na kadhia hiyo ambayo ilimsababishia kupoteza kila kitu na yeye kuponea chupuchupu kuungua na moto baada ya wananchi wenye hasira kali kumtaka ahame eneo hilo vinginevyo atapatwa na mambo mabaya kwasababu ya wajukuu zake. Aidha wananchi…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger