Tuesday 1 February 2022

Dkt. TULIA ACKSON NDIYE SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA

...


Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura zote 376 za wabunge katika Uchaguzi uliofanyika leo Jumanne Februari 1, 2022 bungeni jijini Dodoma.

Akitangaza matokeo hayo, Mwenyekiti wa Uchaguzi huo, William Lukuvi amesema Mhe. Dkt. Tulia amewashinda wagombea wengine nane ambao wote wamepata kura 0 na hakuna kura iliyoharibika.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger