Thursday 10 February 2022

Breaking News : SERIKALI YAYAFUNGULIA MAGAZETI YA MWANAHALISI, MAWIO, MSETO NA TANZANIA DAIMA

...



"Agizo la Rais ni Sheria,  Leo hii natoa Leseni kwa Magazeti manne ambayo ni Mwanahalisi, Mawio, Mseto na Tanzania Daima.
Mama kasema Kazi Iendelee tuanze ukurasa mpya" - Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akizungumza na wahariri wa vyombo vya Habari leo Alhamisi Februari 10,2022

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger