Saturday 12 February 2022

KIKWETE KUZINDUA KITABU CHA MAISHA YAKE

...


Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kuzindua kitabu cha maisha yake alichokiita kwa kimombo “From a barefoot student to President” tafsiri yake kwa Lugha ni Kiswahili ni “Kutoka Mwanafunzi Aliyetembea Peku Hadi Kuwa Rais.”

Kitabu hicho kinachosubiriwa kwa hamu ni muendelezo wa utamaduni mzuri wa marais wastaafu wa Tanzania kuandika vitabu vya kumbukumbu ya maisha yao ya kawaida na uongozi.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger