Monday 28 February 2022

MISS UKRAINE AINGIA VITANI

...

Miss Ukraine mwaka 2015, Anastasia Lenna
***
Miss Ukraine mwaka 2015, Anastasia Lenna ametangaza kuingia vitani kusaidia nchi yake katika vita ya Urusi.

Anastasia kupitia ukurasa wake wa instagram ame-post video akiwa anajifunza kutumia bunduki na kusema yoyote atakaevuka mipaka atauawa.

Pia ametawaka wanajeshi wa Ukraine waziondoe alama za barabarani ili kupoteza mwelekeo kwa wanajeshi wa Urusi wakitembea ndani ya nchi hiyo.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger