Wednesday, 17 February 2016

Pichaz 12 Msiba wa John Woka, kuanzia eneo alilopatia ajali hadi nyumbani….

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Febr 14 2016 Taarifa zilizoenea kuanzia mitandaoni hadi mitaani ilikuwa ni ishu ya  John Woka kupata ajali ya kulipukiwa na gesi,  Leo asubuhi ya Feb 16 2016, mambo yakawa ni msiba wa Woka ambaye alitamba na mdundo kama ‘Mganga’ pamoja na ile ya ‘Hii kitu’ kilichokuwa kikiwabamba wengi ni style yake ya kuimba kama mlevi ndio ilikuwa moja ya burudani kubwa.
Nikaamua kufunga safari na kuanza kujionea eneo la Sinza, Dar es salaam alilopata ajali na kisha hadi nyumbani kwao Ilala Bungoni kwenye msibani.
AW1A1788
Hili ndio eneo alilopatia ajali John Woka wakati akitengeneza gari
AW1A1789
.
AW1A1814
.
AW1A1853
.
AW1A1861
.
AW1A1872
.
AW1A1882
.
AW1A1890
.
AW1A1897
.
vlcsnap-2016-02-16-19h42m33s691
Mmoja wa mafundi waliokuwa na marehemu siku ya ajali
MZEE
Baba mzazi wa John Woka

SOURCE:MILLARD AYO
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger