Tuesday 23 February 2016

BASI LA NATA RAHA LAPATA AJALI BUNDA LEO ASUBUHI

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Watu wanne wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa wajeruhiwa leo asubuhi baada ya basi la Nata Raha toka Serengeti kuacha njia na kugonga nguzo eneo la Kwa Sabato, Bunda. Mganga Mkuu Nicholas Machochota athibitisha kutokea kwa vifo hivyo, pia majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya Bungando kwa matibabu zaidi.

ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI

CHANZO: ITV TANZANIA
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger