Friday 26 February 2016

BREAKING NEWSSerikali yatoa muda mpaka saa 12 jioni kwa mawaziri wasiopeleka tamko la mali

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari:Rais John Pombe Magufuli ametoa muda mpaka leo jioni kwa Mawaziri wanne na Naibu waziri 1 ambao hawajarejesha fomu kwa Sekrtariati ya maadili kwa ajili ya kuanisha mali na madeni wanayodaiwa ambapo wamepewa muda mpaka saa 12 wawe wamesharejesha fomu hizo.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataja majina mawaziri hao kuwa ni
Agustine Mahiga
Charles Kitwanga,
January Makamba,
Joyce Ndali Chako na Naibu waziri Mh.Luhaga Mpina.
by ITV

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger