Saturday 27 February 2016

VIDEO:MWANAFUNZI WA SAUT MWANZA AKIPIGWA MAWE,BAADA YA KUNG'ANG'ANIA SIMU YA MPENZI WAKE

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
marehemu akiwa na mpenzi wake aliemsababishia kifo



Habari yenu,
kwa masikitiko makubwa tukio tajwa hapo chini limetokea Chuo cha SAUT mwanza ambapo mwanafunzi wa jinsia ya kiume ,alienda kumtembelea mpenzi wake chuoni SAUT bweni la RUGAMBWA,baada ya kufika katika kuangalia simu ya mpenzi wake alikuta sms ya mwanaume mwingine ambapo,alichukia na kuamua kuondoka na simu ya mpenzi wake.
Alichokifanya binti huyo aliita MWIZI ,watu walikuja na kupiga bila kuuliza,TAZAMA VIDEO HAPO CHINI.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger