Wednesday 24 February 2016

BREAKING NEWS:CHUO KIKUU CHA ST.JOSEPH -ARUSHA KIMEFUNGWA.

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Baada ya kufungwa kwa chuo kikuu cha St.joseph tawi la songea,wanafunzi wa chuo kikuu cha st.joseph arusha wamekuwa katika hali ya wasiwasi wakiogopa kama ya waliowakutwa wenzao wa Songea ,na kuleta hali ya sintofahamu chuoni hapo.
 Kutokana na hali hio,Maswayetu blog imefuatilia swala hilo na kuhakikishiwa na chuo hicho  cha St.joseph Tawi la Arusha kufunga chuo hicho rasmi hadi hapo NOTICE itakapotolewa. 
Wanafunzi wametakiwa kurudi Nyumbani kwao,hadi hapo taarifa itakapotolewa. Barua ya kufunga chuo hicho ipo hapo chini,

"ENDAPO KAMA UNA TAARIFA YOYOTE TUTUMIE WATSUP THROUGH 0768260834"
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger