Friday 26 February 2016

Video:UKAWA/CHADEMA WAONGELEA KUHUSU UCHAGUZI WA MEYA LEO DAR FEB 27 2016

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kesho February 27  Dar es salaam inategemea kufanya uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji,  Vyama mbalimbali vimejiandaa kwa uchaguzi huo. Leo Katibu Mkuu wa Chadema Salum Mwalimu ameongea na waandishi wa habari na kusema..
Uchaguzi kesho unafanyika, tunatoa rai kwa mamlaka zote zinazohusika kusimamia uchaguzi huu, miezi miwili tumekuwa tukivutana katika jambo hili, Kuna taarifa kwamba wapo wanaotaka kuharibu uchaguzi huu.’
Njama zozote za kufanya figisufigisu hatutazivumilia, tunahaki za kuwatumikia Watanzania na tunaomba kesho uchaguzi ufanyike kwa amani, hatutarajii kuliona Jeshi la Polisi kwamaana uchaguzi utakuwa ni wa amani‘ ;-Salum Mwalimu
Unaweza kuicheki full stori kwenye hii video hapa chini…

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger