Tuesday 12 August 2014

ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KILIMO CHETI NA DIPLOMA 2014/2015

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya maswayetu exclusive blogspot,Leo tena kama kawaida yetu kuwapa kitu roho inapenda.
Tumewaletea majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya kilimo katika vyuo mbalimbalimbali vya kilimo hapa tanzania kwa mwaka wa masomo 2014/2015.
Kama kawaida yetu tutaoa huduma kwa yule ambaye atataka kuangaliziwa jina lake kama amechaguliwa kujiunga na vyuo vya kilimo.
Utaratibu wa kuangaliziwa ni kwamba utatum jina lako ,taja shida yako kwa njia ya SMS baada ya hapo tuma na Tsh.100 kama unatumia vodacom,kwa Airtel na Tigo nawaomba mtume vocha ya mia tano ili muangaliziwe(lakini kama utapata voda tuma Tsh.100).
 Utatuma ujumbe wako kwenda namba
+255768260834,TAFADHALI USIPIGE SIMU.sms yako lazima ijibiwe japokuwa tunaweza chelewa kwani kwa siku tunapata sms zaidi ya 2000,Thanks UONGOZI MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT
 Tafadhali bonyeza hapo chini kuangalia majina hayo;
Selected Students (Diploma 2014-15) 

 FSelected Students (Certificate 2014-15) 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger