INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Wadada
hao waliyasema hayo, juzi Jumatano baada ya kunaswa na paparazi wetu
maeneo ya Sinza Afrikasana pembeni ya Corner Bar ikiwa ni siku chache
baada ya baadhi yao kukamatwa na polisi ambapo walisema biashara hiyo
ndiyo maisha yao.
“Nani
asiyependa kulala usiku na familia yake? Ukituona barabarani ujue hali
ni mbaya. Hata kama polisi wanatukamata lakini wanatuachia na tunarudi
sokoni kama kawaida,” alisema changu mmoja aliyejitambulisha kwa jina la
Zuena na kuongeza:
Katika
hali ya kushangaza wakati changudoa huyo akizungumza hayo, wapo
waliokuwa wakimshawishi paparazi wetu anunue ngono kwa maelezo kuwa,
hali ni mbaya kwani polisi wamekuwa wakifanya doria mara kwa mara.
Hata
hivyo, katika pitapita ya mwandishi wetu maeneo mengi kama vile
Kinondoni, Sinza Mapambano, Mwenge Bamaga na Buguruni, madadapoa hao
wameonekana wakiendelea kujiuza kwa kuibia huku wakiwa makini na kila
mteja anayewatokea.
0 comments:
Post a Comment