Friday 22 August 2014

BREAKING NEWS:ORODHA YA MAJINA KUTOKA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU WALIOKOSEA APPLICATIONS,MFANO KUKOSEKANA KWA PICHA,SAHIHI,VYETI 2014/2015

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                              
Hatimae bodi ya mikopo yatoa majina ya wanafunzi ambao wamekosea kutuma maombi ya mikopo kwa ajili ya kujiunga na chuo kikuu mwaka 2014/2015.
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG hatupo mbali katika kukuletea kitu ambacho kinagusa maisha yako kwa ujumla.
Pia huduma yetu ya kuangalia jina lako kama lipo kwenye list inaendelea ,tutaangalia majina ya wale wote mtakaopenda kungaliziwa majina yenu.
Unachotakiwa kufanya ni kutuma jina lako kwenda namba 0768260834,mfano: tuma jina katiaka form ya  JOHN PAUL(heslb) ,Gharama ya huduma tshs.1000 ambapo utatuma kwa MPESA,Kama una AIRTEL AU TIGO tuma vocha ya 500 kuepusha usumbufu.
Hatuta jibu sms ya mtu ambaye hatatuma pesa ya ghrama kwa ajili ya sms.

VISION:MASWAYETU TUPO KAMILI,MAKINI NI WACHAPA KAZI WAZURI,HIVYO TUTAANGALIA JINA LAKO KWA UMAKINI WA HALI YA JUU. thanks.


CALL FOR LOANS APPLICANTS TO CORRECT THEIR LOAN APPLICATIONS

During the verification exercise of the 2014/2015 loan application forms, the Board has come across loan applications which are incomplete or are missing some vital information for further loans processing. For that reason, the Board would like to inform concerned Loan applicants that such incomplete applications will not be processed until the missing information is provided.  

Therefore, loan applicants and/or guarantors who have not signed their documents are required to come physically at HESLB offices on Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge- Dar es Salaam for correction of their loan applications.
Applicants who have not attached (to their application forms) birth certificates, guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration card or passport size photograph should send the missing documents to the Board with a covering letter indicating their full names and form four index numbers through the following address:
The Executive Director,
Higher Education Students’ Loans Board,P. O. Box 76068,DAR ES SALAAM.
Please note that, the deadline for correction of the shortcomings is 10th September 2014.  All attachments must be certified by a Commissioner of Oaths.
*The list of loan applicants who are required to correct their loan applications can be viewed 
Applicants whose First Name Begin with Letter 'A' or Letter 'B'
Applicants whose First Name Begin with Letter 'C' or Letter 'D' or Letter 'E' 
Applicants whose First Name Begin with Letter 'F' or Letter 'G' or Letter 'H'
Applicants whose First Name Begin with Letter 'I' or Letter 'J' or Letter 'K'
Applicants whose First Name Begin with Letter 'L' or Letter 'M'
Applicants whose First Name Begin with Letter 'N' or Letter 'R'
Applicants whose First Name Begin with Letter 'S' or Letter 'Z' 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger